Posts

Showing posts from March, 2026

GULAMALI AANDIKA HISTORIA ILONGERO: MKATABA WA UJENZI DARAJA LA MGORI WASAINIWA

Image
                                       Mbunge wa Jimbo la Ilongero, Haiderali Hussin Gulamali, ameandika historia leo tarehe 3/03/2026 baada ya kushuhudiwa rasmi utiaji wa saini wa mkataba wa ujenzi wa Daraja la Mgori – mradi utakaotekelezwa ndani ya miezi 8 kuanzia sasa. Hatua hiyo imekuja ndani ya siku 100 tangu kuapishwa kwake, ikiwa ni matokeo ya juhudi zake za haraka na za kimkakati. Ndani ya siku 30 tu baada ya kuwa mbunge, aliwaongoza baadhi ya madiwani kwenda kuonana na Waziri wa TAMISEMI, Riziki Shemdoe, kuwasilisha changamoto zinazowakabili wananchi wa Ilongero, ikiwemo tatizo sugu la korongo la Mgori.                                  Kwa muda mrefu, korongo hilo limekuwa kikwazo kikubwa kwa shughuli za kijamii na kiuchumi, huku likihatarisha maisha ya wananchi wakati wa mvua kwa kusombwa na maj...

MGONTO CHAMPIONS EARLY CHILDHOOD EDUCATION IN IKUNGI

Image
Parents and guardians in Ikungi District have been urged to enroll their children in kindergarten to build a strong educational foundation from an early age. The call was made by the Member of Parliament for Ikungi Constituency, Chief Thomas Mgonto, who served as the guest of honor during a support distribution event for vulnerable families held at the Anglican Church in Ikungi. Speaking at the event, Chief Mgonto emphasized that early childhood education plays a vital role in shaping a child’s future. He noted that kindergarten helps children develop essential skills such as communication, confidence, creativity, and social interaction, preparing them effectively for primary school and beyond. He further encouraged parents not to view early education as optional, but as a crucial investment in their children’s success and the long-term development of the community and the nation at large. During the event, various forms of assistance were provided to families in need, reflecting Chief...

Singida Gears Up for International Women’s Day with Renewed Commitment to Women Empowerment

Image
  As the world prepares to celebrate International Women's Day, the Singida Region is mobilizing with great enthusiasm to honor the invaluable contribution of women to community development, economic growth, and leadership. Preparations for the upcoming celebrations are gaining momentum under the strong and visionary leadership of the Regional Commissioner, Halima Dendego. She has consistently championed women’s participation in development activities while advocating for the protection of their rights and overall well-being within society. Through her dedicated and forward-thinking leadership, Singida Region has continued to set a positive example in promoting gender equality, empowering women economically, and creating opportunities for them to actively participate in nation-building efforts. Her commitment has strengthened unity and inspired many women to step forward confidently in various social and economic sectors. Residents of Singida have commended the Regional Commissione...